Mji wa kati wa Marekani wa Ferguson, Missouri, na maeneo ya karibu yanajitayarisha kwa maandamano zaidi baada ya baraza kuu ya Mahkimu kuamua kutomfungulia mashtaka afisa wa polisi mzungu aliyemuuwa kijana mweuzi ambae hakuwa na silaha mwezi Ogusti.
Hali ni tete Ferguson kufuatia ghasia za usiku

1
Duka la vifaa vya urembo limeharibiwa kabisa kutokana na ghasia zilizofuatia uwamuzi wa kutomfungulia mashtaka afisa wa polisi Darren Wilson aliyemuuwa Michael Brown, Ferguson, Missouri, Nov. 25, 2014. (Kane Farabaugh/VOA)

2
Polisi wafunga njia kwa utepe katika eneo kubwa la biashara lililoharibiwa na ghasia za usiku, Ferguson, Missouri, Nov. 25, 2014. (Kane Farabaugh/VOA)

3
Moto umeteketeza duka hili la kuuza magari mjini Ferguson, Missouri, Nov. 25, 2014. (Kane Farabaugh/VOA)

4
Mwendesha mashtaka wa wilaya ya St. Louis Robert McCulloch akitangaza uwamuzi wa baraza kuu la mahakimu la kutomfungulia mashtaka afisa mzungu wa polisi Darren Wilson aliyemuuwa Michael Brown, Clayton, Missouri, Nov. 24, 2014.