Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 06:17

Hali ni tete Ferguson kufuatia ghasia za usiku

Mji wa kati wa Marekani wa Ferguson, Missouri, na maeneo ya karibu yanajitayarisha kwa maandamano zaidi baada ya baraza kuu ya Mahkimu kuamua kutomfungulia mashtaka afisa wa polisi mzungu aliyemuuwa kijana mweuzi ambae hakuwa na silaha mwezi Ogusti.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG