Karibu watu 56 wamefariki na zaidi ya 100 kujeruhiwa baada ya lori la mafuta kulipuka Alhamisi usiku huko magharibi ya Msumbiji katika kijiji cha Caphirizanje, jimbo la Tete.
Mlipuko wa lori la mafuta umesababisha vifo 56 Msumbiji

1
Watu wakimsaidia muathiriwa wakimondowa kutoka eneo la mlipuko wa lori la mafuta katika jimbo la Tete, Msumbiji, 17 novembre 2016.

2
Waathiriwa walojeruhiwa vibaya wasubiri kupelekwa hospitali, 17 novembre 2016.

3
Watu watumia shuka kumokoa muathiriwa wa mlipuko wa lori la mafuta huko Msumbiji jimbo la Tete, 17 novembre 2016.

4
Lori la mafuta lililolipuka katika jimbo la Tete, huko Msumbiji, 17 novembre 2016.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Facebook Forum