Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Mei 02, 2024 Local time: 01:03

Mlipuko wa lori la mafuta umesababisha vifo 56 Msumbiji

Karibu watu 56 wamefariki na zaidi ya 100 kujeruhiwa baada ya lori la mafuta kulipuka Alhamisi usiku huko magharibi ya Msumbiji katika kijiji cha Caphirizanje, jimbo la Tete.

Makundi

XS
SM
MD
LG