Wakati serikali ya Moroco ikitishia kutodhibiti wimbi la wakimbizi wanaokimbilia Ulaya ikiwa mkataba wa ushirikiano wa kilimo na Ulaya hautaidhinishwa, karibu wahamiaji 500 waliingia kwa nguvu eneo linalokaliwa na Hispania la Ceuta siku ya Ijuma Februari 17, 2017.
Wahamiaji wavuka mpaka kwa lazima kuingia Hispania kutoka Morocco

1
Mhamiaji akipeperusha bendera ya Umoja wa Ulaya alipowasili Ceuta, Hispania Feb 17 2017.

2
Wahamiaji wa Kiafrika wakijaribu kuruka uzio kuingia Ceuta, Hispania.

3
Mhamiaji akibusu ardhi alipofika Ulaya eneo la Ceuta, Hispania hapo Februari 17 2017.

4
Wahamiaji walokamatwa walipoingia Ceuta, Hispania.
Zinazohusiana
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017