Wakazi wa mji mkuu wa Kongo wa Kinshasa waliandamana Jumanne tarehe 20 Disemba kupinga Kabila kuendelea na utawala baada ya muhula wake kumalizika.
Maandamano Kinshasa kupinga mamlaka ya Kabila
1
Katika mtaa wa Lingwala, katika mji mkuu, polisi wanawatawanya waandamanaji kwa gesi ya kutoa machozi. Disemba 20 2016. (VOA/Charly Kasereka)
2
Wakazi wakiimba na kuwasha moto vizuizi vya barabarani Kinshasa
3
Polisi mmoja wa kongo akitizama maandamano katika mji mkuu wa Kinshasa, Disemba 20 2016.
4
Polisi wamekaa juu ya jengo la kituo kikuu cha treni cha Gombe, Kinshasa, Disemba 19 2016.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017