Polisi wa Uturuki wa kupambana na ghasia wamewaondowa walokuwa wanalalamika kutoka uwanja mkuu a kati wa Istanbul baada ya mapambano ya usiku kati ya pande mbili Jumanne Juni, 11 2013.
Polisi wa Uturuki wachukua udhibiti wa uwanja wa Taksim

1
Moja kati ya vijana walokuwa wakilalamika ajifunika na blanketi akitembea karibu na bustani ya Gezi Park, Istanbul, June 12, 2013.

2
Watu wanaolalamika wamelala kwnye bustani ya Gezi Park, Istanbul, June 12, 2013.

3
Mabomu ya kutowa machozi yafyetuliwa kwa muda mrefu katika uwanja wa Taksim wakati wa mapambano kati ya polisi na waandamanaji, Istanbul, June 11, 2013.

4
Polisi wakichukua udhibiti wa uwanja wa Taksim Square, Istanbul, June 11, 2013.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017