Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 07:59

Bunge lamthibitisha Waziri Mkuu Ahmed kuendelea na muhula mwengine


Bunge lamthibitisha Waziri Mkuu Ahmed kuendelea na muhula mwengine
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:04 0:00

Bunge la Ethiopia lilimthibitisha Jumatatu Waziri Mkuu aliyeko madarakani Abiy Ahmed kuendelea na wadhifa huo kwa muhula mwingine wa miaka mitano.

Wakati Ahmed akiimarisha nguvu zake ndani ya nchi kumekuwa na ongezeko la wasiwasi wa kimataifa kwa serikali yake namna inavyoshughulikia mzozo kaskazini mwa Ethiopia.

Makundi

XS
SM
MD
LG