Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 09:43

AFCON 2019 : Uganda yaishukuru Afrika Mashariki kwa kuwaunga mkono


AFCON 2019 : Uganda yaishukuru Afrika Mashariki kwa kuwaunga mkono
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:53 0:00

Mchezaji wa kimataifa wa Uganda Emmanuel Okwi, amewashukuru wana Afrika Mashariki kwa kuinga mkono timu ya Uganda na kuwa moyo wakati wote wa michuano hiyo.

Okwi ambaye pia anachezea timu ya Simba ya Tanzania alifanya mahojiano na mwandishi wa VOA Sunday Shomari, mjini Cairo, Misri Julai 06, 2019...

Makundi

XS
SM
MD
LG