Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 11:23

AFCON 2019 MISRI : Mpangilio wa Raundi ya 16


AFCON 2019 MISRI : Mpangilio wa Raundi ya 16
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:01 0:00

Mechi za kwanza Ijumaa zitakuwa baina ya wawakilishi pekee wa Afrika Mashariki, Uganda, dhidi ya Senegal.

Raundi ya pili ya fainali za kombe la mataifa ya Afrika, AFCON, itaanza Ijumaa baada ya kumalizika kwa raundi ya kwanza Jumanne na timu 16 kufuzu raundi ya pili zikiongozwa na wenyeji Misri.

Makundi

XS
SM
MD
LG