Mapigano kati ya Israel na Hamas yaingia wiki ya sita, na kusababisha hospitali nyingi kusita kutoa huduma
- Abdushakur Aboud
Maafisa wa afya wa Gaza wanasema ukosefu wa mafuta imesababisha kusitishwa kazi kwenye hospitali kadha Gaza kaskazini ambako watoto watano wachanga wamefariki Jumapili pamoja na wagonjwa 7 walokua mahtuti baada ya mashini za kuwapa oxygen kusita kufanya kazi.
1
Madaktari wajaribu kumtibu mgonjwa wakitumia mwangaza kutoka simu ya mkononi katika hospitali ya Indonesia, mjini Gaza.
2
Waandamanaji wakiimba nyimbo za kuunga mkono Palestina nje ya Bunge la Jimbo la Texas, mjini Austin Marekani, Nov 12, 2023.
3
Watoto wachanga walozaliwa kabla ya muda wametolewa katika vyombo maalum vya kuwasaidia kupumua na kupata joto katika hospitali ya Al Shifa, Gaza baada ya kukatwa kwa umeme.
4
Msichana mdogo akipeperusha bendera ya Palestina wakati wa maandamano kuunga mkono Wapalestina nje ya bunge la jimbo la Texas, mjini Austin, Nov 12, 2023.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Forum