Mapigano kati ya Israel na Hamas yaingia wiki ya sita, na kusababisha hospitali nyingi kusita kutoa huduma
- Abdushakur Aboud
Maafisa wa afya wa Gaza wanasema ukosefu wa mafuta imesababisha kusitishwa kazi kwenye hospitali kadha Gaza kaskazini ambako watoto watano wachanga wamefariki Jumapili pamoja na wagonjwa 7 walokua mahtuti baada ya mashini za kuwapa oxygen kusita kufanya kazi.
5
Watu walobeba mabango wakati wa mkusanyiko nje ya makao ya Msalaba Mwekundi mjini Washington kutaka mateka walochukuliwa Oktoba kuachiliwa na Hamas, November 12, 2023.
6
Maafisa wa ufaransa wakishiriki kwenye maandamano kulaani chuki dhidi ya wayahudi.
7
Wapalestina walojeruhiwa kutokana na shambulio la Israek wamepelekwa kwenye hospitali mjini Khan Younis, Nov. 12, 2023.
8
Mtoto ashanga akiwatizama watu wanavuta vitu chini ya vifusi baada ya jengo kubomolewa na shambulio la Israel huko Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza, Nov. 12, 2023.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Forum