Mapigano kati ya Israel na Hamas yaingia wiki ya sita, na kusababisha hospitali nyingi kusita kutoa huduma
- Abdushakur Aboud
Maafisa wa afya wa Gaza wanasema ukosefu wa mafuta imesababisha kusitishwa kazi kwenye hospitali kadha Gaza kaskazini ambako watoto watano wachanga wamefariki Jumapili pamoja na wagonjwa 7 walokua mahtuti baada ya mashini za kuwapa oxygen kusita kufanya kazi.
9
Wanajeshi wa israel ndani ya Ukanda wa Gaza wakiendelea na operesheni ya kuwatafuta wapiganaji wa Hamas, Nov. 8, 2023.
10
Wapalestina watafuta watu walonusurika au maiti baada ya Israel kudondosha bomu huko Khan Younis, kusini mwa Ukanda wa Gaza, Nov. 12, 2023.
11
Watoto wa kipalestina wakiwa wanasongamana wakisubiri kupewa chakula katika kituo cha kugawa msaada cha Rafah.
12
Wapalestina wakimbia kuelekea Gaza kusini wakitumia barabara kuu ya Salah al-Din Street kwenye Ukanda wa Gaza, Nov. 8, 2023.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Forum