Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 12:21

Idara ya Usalama Kenya yatumia michezo kujenga ushirikiano na jamii


Idara ya Usalama Kenya yatumia michezo kujenga ushirikiano na jamii
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:11 0:00

Idara ya Usalama nchini Kenya imeanza kutumia michezo kuileta karibu jamii ikiwa ni hatua ya kuhamasisha amani, ikitambua kuwa hususan wanawake wana mchango mkubwa katika kuimarisha usalama nchini humo.

XS
SM
MD
LG