Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 12:18

Kenya: Dkt Jill Biden azitaka nchi kuungana na Marekani kutoa misaada


Kenya: Dkt Jill Biden azitaka nchi kuungana na Marekani kutoa misaada
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:13 0:00

Mke wa Rais wa Marekani Jill Biden amekamilisha ziara ya siku tatu nchini Kenya. Ungana na mwandishi wetu mjini Nairobi akikuletea maelezo kamili kuhusu ziara hiyo wakati nchi ya Kenya na nchi nyingine jirani zikikabiliwa na ukame na ukosefu wa chakula. Endelea kusikiliza...

XS
SM
MD
LG