Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 14:39

Jill Biden mke wa rais wa Marekani awasili Nairobi, Kenya kituo cha pili cha ziara ya Afrika

Mke wa rais wa Marekani Jill Biden amewasili Nairobi Ijumaa tarehe 24, Februari akiwa katika ziara ya mataifa mawili ya Afrika, Namibia na Kenya akifuatana na mjuku wake Naomi

Akiwa Kenya atazungumza na wanawake na kutembelea maeneo yanayokumbwa na ukame na baadhi ya miradi inayogharimiwa na Marekani. Akizungumza na mwandishi habari wa shirika la habari la AP kwa mara ya kwanza alifafanua bayana kwamba mumewe Biden yuko tayari kugombania mhula wa pili.


Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG