Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 20:21

Wataalamu wa uchumi Tanzania wanaishauri serikali nchini humo kubuni mikakati thabiti ya kudhibiti ongezeko la bei za nafaka


Wataalamu wa uchumi Tanzania wanaishauri serikali nchini humo kubuni mikakati thabiti ya kudhibiti ongezeko la bei za nafaka
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mhadhiri msaidizi kitivo cha usimamizi wa biashara chuo kikuu huria cha Tanzania Vicent Stanslaus amesema serikali inahitaji kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji ambacho hakitategemea mvua pamoja na kujenga viwanda vya mbolea nchini ili kuwasaidia wakulima kurahisisha kilimo na kupunguza gharama

XS
SM
MD
LG