Shambulizi hilo lilitokea Januari 15, siku ya Jumapili. Hizi ni picha ambazo zinaonyesha namna shambulizi hilo lilivyowajeruhi na kuharibu mali ya kanisa hilo. Picha zote na mwandishi wa VOA Austere Malivika.
DRC: Shambulizi la kanisa na athari za mlipuko wa bomu kwa raia
Shambulizi la bomu katika Kanisa la Kiprotestanti mjini Kasindi, Wilaya ya Beni, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, lilileta maafa makubwa kwa raia waliokuwa wanahudhuria ibada.

1
Kiatu kilichoachwa katika eneo la tukio la shambulizi la bomu kanisani DRC.

2
Kanisa la CEPAC lililoshambuliwa na wanaoshukiwa kuwa magaidi.

3
Mabaki ya viatu an viti vilivyoharibiwa na mlipuko wa bomu katika kanisa mjini Kasindi, Wilaya ya Beni, DRC.

4
Mmoja wa walioathiriwa na mlipuko wa bomu kanisani.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- UNGA
- AFCON 2017