Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 07:56

Netanyahu apiga hatua katika uundaji wa serikali


Netanyahu apiga hatua katika uundaji wa serikali
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Waziri Mkuu mteule wa Israeli Jumanne amevuka hatua nyingine ya kuunda serikali baada ya bunge kuidhinisha sheria yenye mgawanyiko na kukubaliana na washirika wake wa muungano wa mrengo wa kulia.

Jeshi la DRC limesema waasi wa M23 wamekiuka mikataba ya Angola

Pia katika matangazo haya tunakuletea makala ya afya.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG