Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 13:36

Bajeti ya Kenya yakosolewa kwa "kutoangazia vilivyo" maslahi ya wanawake na vijana


Bajeti ya Kenya yakosolewa kwa "kutoangazia vilivyo" maslahi ya wanawake na vijana
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Msanii Angel Mary Kato ambaye alitaka kujitoa uhai mara nne anazungumza na Sauti ya Amerika kuhusu changamoto alizopitia na nini anachofanya ili asijipate katika hali kama hiyo tena, huku nayo bajeti ya Kenya ikikosolewa kwa kutoangazia vilivyo maslahi ya wavijana na wanawake.

XS
SM
MD
LG