Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 13:35

Zelenskyy ataka EU kumtangaza Putin kuwa mhalifu wa kivita


Zelenskyy ataka EU kumtangaza Putin kuwa mhalifu wa kivita
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Rais wa Ukraine ataka Umoja wa Ulaya kumtambua Vladimir Putin kuwa muhalifu wa kivita.

Madereva wanaosafirisha madini kutoka DRC hadi bandari ya Dar es Salaam wanaripoti madhila wanayokabiliana nayo njiani.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG