Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 13:51
VOA Direct Packages

Duniani Leo: Jan 27: Jeshi la Congo lapambana na waasi wa M23 kwa siku ya tatu


Duniani Leo: Jan 27: Jeshi la Congo lapambana na waasi wa M23 kwa siku ya tatu
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, limeendelea na mapigano dhidi ya waasi wa M23 kwa siku ya tatu Kivu Kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

- Mizoga ya wanyama yaonyesha uharibifu ulioletwa na mafuriko nchini Kenya.

- Idadi ya watu waliofariki kutokana na kimbunga Ana huko Msumbiji, Madagascar na Malawi imefikia 70.

- Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya Kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

Makundi

XS
SM
MD
LG