Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 12:35

Kigali : Rusesabagina afungwa miaka 25, akaidi kufika mahakamani

Wakati Paul Rusesabagina hakufika mahakamani mjini Kigali wakati wakuhukumiwa kwa makosa ya ugaidi, wenzake 20 wanaotuhumiwa walifika. Wanakabiliwa na mashtaka ikiwemo kuchoma moto, uhaini na mauaji.

Rusesabagina, mfanyakazi wa hoteli aliyepongezwa kwa kuokoa maisha ya mamia ya watu wakati wa mauaji ya kibari Rwanda, alipewa hukumu kali zaidi kutumikia kifungo cha miaka 25 jela, Septemba 20, 2021. (Assumpta Kaboyi / VOA) ​

Makundi

XS
SM
MD
LG