Kikosi cha wazima moto kikipambana na moto unaowaka kwa kasi katika mazingira ya ukungu wa rangi ya machungwa uliotanda angani upande wa Kaskazini mwa California, Jumatano September 9.
Moto huo katika eneo la misitu unaendelea kuleta uharibifu upande wa Magharibi ya Marekani.