Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 03:45

Uganda Tanzania zakusudia kujenga bomba la mafuta


Uganda Tanzania zakusudia kujenga bomba la mafuta
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:57 0:00

Tanzania imeitaka Uganda kumaliza utata wa kodi katika mradi wa mafuta ili kuharakisha ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima Magharibi mwa Uganda hadi bandari ya Tanga nchini Tanzania. Hayo yanakuja siku moja baada ya Kampuni ya Total kutangaza kujitoa katika ujenzi wa bomba hilo.

XS
SM
MD
LG