Duniani Leo May 2nd, 2019
Watanzania na Afrika mashariki wanaomboleza kifo cha muasisi wa vyombo binafsi vya habari Reginald Mengi afariki dunia baada ya kuugua kwa muda. Na Kansela wa Ugerumani Angela Merkerl ametembelea Niger akitokea Burkina Faso ambako alitoa msaada mkubwa kijeshi na kiuchumi ili kupambana na ugaidi.
Zinazohusiana
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.