Maandamano ya kumpinga Rais huyo yameongeza kasi kote nchini na Ufaransa kabla ya siku ya mwisho ya kujiandikisha ambayo ni Jumapili Marchi 3, 2019.
Wa-Algeria waandamana kupinga Bouteflika kugombea muhula wa tano
Wa-Algeria wanamtaka kiongozi ambaye ni mgonjwa muda mrefu Abdelazi Bouteflika, 82 kutogombania tena kiti chake. Maandamano yaliyoanzishwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Algiers tarehe 22Februari 2019 yamedumu kwa siku 11.

1
Waandamanaji wakiwarushia polisi mawe baada ya kufyetuliwa mabomu ya kutoa machozi

2
Maandamano kumpinga Rais Bouteflika waAlgeria kugombania mhula wa 5

3
Waandamanaji mjini Algiers wakimtaka Bouteflika asigombania mhula wa 5

4
Walgeria wakiandamana kupinga Rais Bouteflika kugombania tena kwa mhula wa 5