Masaa kadhaa kabla ya kura kuanza kupigwa, milipuko ilisikika katika upande wa kaskazini mashariki wa mji wa Maiduguri nchini NIgeria.
Vyanzo vya habari vimeripoti kuwa chanzo cha milipuko hiyo hakikuweza kufahamika mara moja, lakini Boko Haram wametoa taarifa walikuwa wanahusika na shambulizi hilo huko Maiduguri.