Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 18:29

" Queen of Soul" Aretha Franklin" Afariki

Aretha Franklin, mwana muziki wa Marekani, amefariki Alhamisi asubuhi baada kupigana na maradhi ya saratani kwa miaka mingi. Franklin amefariki akiwa na umri wa 76.

Aretha ambaye anajulikana kama "Queen of Soul" duniani na ni mwenye mamilioni ya wafuasi duniani

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG