Aretha ambaye anajulikana kama "Queen of Soul" duniani na ni mwenye mamilioni ya wafuasi duniani
" Queen of Soul" Aretha Franklin" Afariki
Aretha Franklin, mwana muziki wa Marekani, amefariki Alhamisi asubuhi baada kupigana na maradhi ya saratani kwa miaka mingi. Franklin amefariki akiwa na umri wa 76.

9
FILE - Aretha Franklin performs during the commemoration of the Elton John AIDS Foundation 25th year fall gala at the Cathedral of St. John the Divine in New York City, in New York, Nov. 7, 2017.

10
Rais Bush akimvisha nishani mwimbaji Aretha Franklin, ikiwa ni medali ya uhuru, huko White House, Novemba 9, 2005.

11
Aretha Franklin akihudhuria chakula cha usiku katika hafla ya jumuiya ya waandishi wa habari wanaoripoti matukio ya White House, Washington Hilton, mjini Washington, Aprili 30, 2016.

12
Herbie Hancock na Aretha Franklin, wakitumbuiza katika maonyesho ya siku ya Jazz ya kimataifa, White House, Washington, Aprili 29, 2016.