Wa-Catalan, wakazi wa jimbo la kaskazini la Hispania Catalonia walipiga kura Jumapili katika kura ya maoni ya kudai uhuru iliyopigwa marufuku na serikali ya Madrid. Polisi walijaribu kunyakua karatsi za kupiga kura katika angalau kituo kimoja . Mahakama ya Katiba ya Hispania iliahirisha upigaji kura na serikali kusema si halali lakini watu walijitokeza kupiga kura.
Wakazi wa Catalonia wapiga kura kudai uhuru
Licha ya serikali ya Hispania kupiga marufuku kura ya maoni ya kudai uhuru wa jimbo la kaskazini la Catlonia, lakini wapiga kura walijitokeza kwa wingi kushiriki huku katika maeneo mengi walipambana na polisi.
5
Mwanamke anamuonesha mlizi wa kiraia wa Hispania cheti cha kupiga kura nje ya kituo cha kura ya maoni iliyopigwa marufuku mjini Sant Julia de Ramis, Oct. 1, 2017.
6
People offer flowers to a civil guard at the entrance of a sports center, assigned to be a referendum polling station by the Catalan government in Sant Julia de Ramis, near Girona, Oct. 1, 2017.
7
Mwanamke akilia baada ya walinzi kuwaburura watu kutoka mlango wa kuingia katika kituo cha kupiga kura mjini Sant Julia de Ramis, near Girona, Oct. 1, 2017.
8
Walinzi wa raia wakiwaondowa watu kutoka mlango wa kuingia kwenye kituo cha kupiga kura katika mji wa Sant Julia de Ramis, near Girona, Oct. 1, 2017.