Wa-Catalan, wakazi wa jimbo la kaskazini la Hispania Catalonia walipiga kura Jumapili katika kura ya maoni ya kudai uhuru iliyopigwa marufuku na serikali ya Madrid. Polisi walijaribu kunyakua karatsi za kupiga kura katika angalau kituo kimoja . Mahakama ya Katiba ya Hispania iliahirisha upigaji kura na serikali kusema si halali lakini watu walijitokeza kupiga kura.
Wakazi wa Catalonia wapiga kura kudai uhuru
Licha ya serikali ya Hispania kupiga marufuku kura ya maoni ya kudai uhuru wa jimbo la kaskazini la Catlonia, lakini wapiga kura walijitokeza kwa wingi kushiriki huku katika maeneo mengi walipambana na polisi.
9
Catalan President Carles Puigdemont, center, speaks to the media at a sports center, assigned to be a polling station by the Catalan government in Sant Julia de Ramis, near Girona, Oct. 1, 2017.
10
Spanish riot police removes fences as they prevent people from reaching a school assigned to be a polling station by the Catalan government in Barcelona, Oct. 1, 2017.
11
Spanish Civil Guard officers break through a polling station for the banned independence referendum where Catalan President Carles Puigdemont was supposed to vote in Sant Julia de Ramis, Oct. 1, 2017.
12
Demonstrators wave Spanish flags during a demonstration in favor of a unified Spain on the day of a banned independence referendum in Catalonia, in Madrid, Oct. 1, 2017.