Kwa karibu wiki moja sasa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo FRDC, limekua likipambana na wapiganaji wa Mai Mai katika milima ya Virunga, katika juhudi za kumaliza mauwaji mashariki ya nchi.
Jeshi la Congo lajaribu kuwaondowa waasi wa Mai Mai kutoka msitu wa Virunga

1
wanajeshi wa FRDC watayarisha kufyetua mzinga kuelekea kambi ya waasi Virunga

2
Afisa wa mawasiliano wa jeshi la Congo kwenye uwanja wa mapambano msitu wa Virunga

3
Maafisa wa jeshi la Congo wakizungumza na raia wa Nyamilima

4
wanajeshi wa FRDC kwenye mstari wa mbele katika vita dhidi ya Mai Mai
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017