Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 16:32

Jeshi la Congo lajaribu kuwaondowa waasi wa Mai Mai kutoka msitu wa Virunga

Kwa karibu wiki moja sasa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo FRDC, limekua likipambana na wapiganaji wa Mai Mai katika milima ya Virunga, katika juhudi za kumaliza mauwaji mashariki ya nchi.

Makundi

XS
SM
MD
LG