Ilhaan Omaar, Mwanamke wa kwanza mkimbiuzi aliyekua katika kambi ya daadab asili ya Kisomali aapishwa mbunge wa jimbo la Minnisota siku ya Jumanne tarehe 3 Januari 2017. Bi Omar anakua mbunge wa kwanza Martekani mwenye asili ya Kisomali aliyechaguliwa katika mwaka ambao sala la Uislamu ulikua juu katika kampeni za uchaguzi.
Sherehe za kula kiapu Ilhaan Omaar; Msomali wa kwanza kua mbunge Marekani

1
Ilhaan Omaar, akila kiapu katika Baraza la Wawakilishi la bunge la Minnesota

2
Kakake Ilhaan Omaar, akionesha Kurani aliyotumia kula kiapu.

3

4
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017