Wagombea kiti cha rais wa vyama viwili vya Marekani wanatembelea wilaya zote za jimbo la New Hampshire kaskazini mashariki ya nchi kabla ya uchaguzi wa Jumanne ambapo uwamuzi muhimu utabidi kuchukuliwa na wagombea wote juu ya kuendelea au kuondoka katika kinyan'gnyiro hasa wagombea kiti wa chama cha Republican.
Kampeni za Uchaguzi wa Awali za pamba moto Marekani

1
Wapiga kura wakisikiliza hotuba ya mgombea kiti cha Republican John Kasich

2
Basi la mgombea kampeni John Kasich huko New Hampsire

3
Wapiga kura wakisikiliza hotuba ya mgombea kiti cha Republican John Kasich

4
Watu wakielekea katika kampeni za uchaguzi huko New Hampshire
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017