Wakazi wa miji ya Mashariki ya Congo wameandamana kulaani mauwaji ya kamanda aliyewamaliza wapiganaji wa M23, na kuanza kuwasaka wapiganaji wa makundi mengine ya waasi.
Maandamano dhidi ya mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala mashariki ya Congo

1
Wakazi wa mji wa Benni wakiandamana kulaani mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala, wanataka uchunguzi ufanyike kwani hawaamini ni waasi ndio walomua. Jan, 03 2013

2
Vikosi vya usalama wakiwazuia waandamanaji mjini Benni walokuwa wanadai uchunguzi wa kina katika mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala

3
Wanawake wakiandamana Benni kulalamiika mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala Jan, 03 2014

4
Waandamanaji katika njia kuu ya Beni kulaani mauwaji ya Kanali M. Ndala
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Makala Maalum
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Mkutano wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017