Wakazi wa miji ya Mashariki ya Congo wameandamana kulaani mauwaji ya kamanda aliyewamaliza wapiganaji wa M23, na kuanza kuwasaka wapiganaji wa makundi mengine ya waasi.
Maandamano dhidi ya mauwaji ya Kanali Mamadou Ndala mashariki ya Congo

5
Mwandamanaji akilalamika mjini Beni kulaani mauwaji ya Kanali M. Ndala

6
Colonel Mamadou Ndala akiongozana na wanajeshi wa Kongo kuwasaka wapiganaji wa AFD Nalu

7
Kanali Mamadou Ndala komanda wa kikosi maalum cha jeshi la Congo linalowasaka waasi mashariki mwa nchi

8
Rais Joseph Kabila pamoja na Gavana wa Kivu Kaskazini Julien Paluku mjini Goma
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017