Matukio baada ya uchaguzi wa DRC
Sherehe, ghasia, na matatizo yaliyofuatia kutanagzwa matokeo ya uchaguzi wa DRC Disemba 2011

1
Polisi wa kupambana na ghasia wa Congo akisimama karibu na matiri yanawaka moshi kwenye mtaa wa wafuasi wa Tshisekedi Matete mjini Kinshasa

2
Wafuasi wa kiongozi wa upinzani wa Congo Etienne Tshiusekedi wakiwatupia mawe polisi wa kupambana na ghasia nje ya makao makuu ya kiongozi wao mjini Kinshasa

3
Wafuasi wa rais Joseph Kabila wakisherehekea katika barabara ya Kinshasa baada ya matokeo ya uchaguzi kutangazwa Disemba 9 2011

4
Wafuasi wa rais Joseph Kabila wa Coingo wakisherehekea ushindi wake baada ya kutangazwa na tume huru ya uchaguzi, Disemba 9 2011.