Matukio baada ya uchaguzi wa DRC
Sherehe, ghasia, na matatizo yaliyofuatia kutanagzwa matokeo ya uchaguzi wa DRC Disemba 2011
5
Mtu anaewaangalia polisi wa kupambana na ghasia katika mtaa wa Matete ngome ya kiongozi wa upinzani Tshisekedi mjini Kinshasa baada ya kuzuka ghasia kufuatia kutangazwa matokeo ya uchaguzi.
6
Wafuasi wa kiongozi wa upinzani wa Congo Etienne Tshisekedi wakiandamana mjini Brussels Ubelgiji kupinga matokeo ya uchaguzi.
7
Wafanayakazi wa uchaguzi walojitolea wakihesabu kura katika kituo cha kuhesabu kura cha Fikin mjini Kinshasa
8
Wafanyakazi wa tume ya uchaguzi wakijaribu hesabu mifuko na sanduku zilizojaa kura katika kituo cha Fikin kituo kikuu cha kuhesabu kura mjini Kinshasa.