Kuapishwa kwa viongozi wa Tanzania
Kuapishwa kwa rais J.Kikwete na Dk. M. Shein wa Zanzibar
9
Rais Joseph Kabila wa DRC akimpongeza rais Kikwete baada ya kula kiapo
10
Umati wa watu walohudhuria sherehe za kuapishwa kwa rais Jakaya Kikwete kwa mhula wa pili
11
Jaji Frederick Werema akila kiapo mbele ya Rais Jakaya Kikwete mara baada ya kuteuliwa kua Mwanasheria Mkuu wa serikali
12
Rais J. Kikwete akimkabidhi miongozo ya kazi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema huko Ikulu