Kuapishwa kwa viongozi wa Tanzania
Kuapishwa kwa rais J.Kikwete na Dk. M. Shein wa Zanzibar
13
Mgombea wa chama cha CUF Profesa Ibrahim Lipumba akimpongeza rais Jakaya KIkwete alipotangazwa mshindi wa uchaguzi wa Oktoba 31 2010
14
Rais mpya wa Zanzibar Dk. Mohamed Shein, (kulia) akila kiapo mbele ya jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahamoud, (kushoto), wakati wa sherehe za kumapisha Amani Stadium Zanzibar
15
Rais anaeondoka madarakani Zanzibar Amani Karume akimpongeza rais mpya Dk. Mohamed Ali Shein
16
Rais Jakaya Kikwete akimpongeza Dk Mohamed Shein muda mfupi baada ya kuapishwa Zanzibar