Kuapishwa kwa viongozi wa Tanzania
Kuapishwa kwa rais J.Kikwete na Dk. M. Shein wa Zanzibar
![Rais J. Kikwete akiupungia mkono umati wa watu walohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye uwanja wa Uhuru](https://gdb.voanews.com/98956389-0ffa-43ee-833a-53bcfedcd3f2_w1024_q10_s.jpg)
1
Rais J. Kikwete akiupungia mkono umati wa watu walohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye uwanja wa Uhuru
![Jeshi la Tanzania linatoa heshima mbele ya rais J.Kikwete wakati wa sherehe za kuapishwa kwa mhula wa pili](https://gdb.voanews.com/34d83f14-d4f5-4920-b41a-8251d89967df_w1024_q10_s.jpg)
2
Jeshi la Tanzania linatoa heshima mbele ya rais J.Kikwete wakati wa sherehe za kuapishwa kwa mhula wa pili
![Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la jeshi la Taifa kabla ya kula kiapo](https://gdb.voanews.com/c53db39a-0690-4046-b76a-911360ddafba_w1024_q10_s.jpg)
3
Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la jeshi la Taifa kabla ya kula kiapo
![Wachezaji wa ngoma ya Lizombe ambayo asili yake ni mkoani Ruvuma wakitoa burudani kwenye sherehe za kuapishwa rais](https://gdb.voanews.com/ab4a913f-1e18-4905-a616-862bd05f3665_w1024_q10_s.jpg)
4
Wachezaji wa ngoma ya Lizombe ambayo asili yake ni mkoani Ruvuma wakitoa burudani kwenye sherehe za kuapishwa rais