Kuapishwa kwa viongozi wa Tanzania
Kuapishwa kwa rais J.Kikwete na Dk. M. Shein wa Zanzibar
1
Rais J. Kikwete akiupungia mkono umati wa watu walohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye uwanja wa Uhuru
2
Jeshi la Tanzania linatoa heshima mbele ya rais J.Kikwete wakati wa sherehe za kuapishwa kwa mhula wa pili
3
Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la jeshi la Taifa kabla ya kula kiapo
4
Wachezaji wa ngoma ya Lizombe ambayo asili yake ni mkoani Ruvuma wakitoa burudani kwenye sherehe za kuapishwa rais