Kuapishwa kwa viongozi wa Tanzania
Kuapishwa kwa rais J.Kikwete na Dk. M. Shein wa Zanzibar

1
Rais J. Kikwete akiupungia mkono umati wa watu walohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye uwanja wa Uhuru

2
Jeshi la Tanzania linatoa heshima mbele ya rais J.Kikwete wakati wa sherehe za kuapishwa kwa mhula wa pili

3
Rais Jakaya Kikwete akikagua gwaride la jeshi la Taifa kabla ya kula kiapo

4
Wachezaji wa ngoma ya Lizombe ambayo asili yake ni mkoani Ruvuma wakitoa burudani kwenye sherehe za kuapishwa rais