Uharamia katika Bahari ya Hindi
Matukio tofauti ya uharamia katika kanada ya bahari ya Hindi.

1
Ramani ya eneo kuu la uharamia kwenye pwani ya Somalia

2
Polisi na maafisa wa FBI wakimpeleka mtuhumiwa wa uharamia kutoka Somalia anaetajwa kuwa ni Abdiwali Abdiqadir Muse, hadi makao makuu ya FBI New York. Aprili 20, 2009. Muse ni haramia pekee aliyenusurika wakati wa kuokoa meli ya Marekani ya Maersk Alabam

3
Maharamia wa Kisomali walokamatwa na makomando wa jeshi la majini la Malaysia wakati wa kuokoa tenka ya mafuta kwenye Ghuba ya Aden. 21 Jan 2011

4
Uharamia katika Bahari ya Hindi