Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Mei 17, 2024 Local time: 11:00

Manusura wa tetemeko la ardhi Morocco wanahitaji chakula, maji na malazi


Manusura wa tetemeko la ardhi Morocco wanahitaji chakula, maji na malazi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Manusura wa tetemeko baya zaidi la ardhi katika zaidi ya miongo sita nchini Morocco wanataabika kupata chakula, maji na malazi, huku zoezi la kuwatafuta waathirika likiendelea katika vijiji na miji mbalimbali.

XS
SM
MD
LG