Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametoa mwito kwa bara la Afrika kusimama kidete na kwa umoja, kujiamulia maswala yake yenyewe.
Amnesty International yataja DRC, Ivory Coast, Sudan na Sudan Kusini kuwa miongoni mwa nchi zinazokiuka haki za binadamu.
Mashahidi wanasema mzunguko mmoja wa kombora ulitua katika eneo la Ndosho lililo jirani na Goma na kumuuwa mtu mmoja na kuwajeruhi kadhaa