Wakaazi wenye hasira kutoka Hosteli ya Diepkloof katika kitongoji cha Soweto mjini johanesburg Afrika kusini, wamechoma matairi katika jaribio la kuziba barabara na kuwarushia mawe polisi kufuatia maandamanao ya ghasia ya kupinga ukosefu wa usambazaji wa huduma muhimu na hali mabaya ya makazi.
Putin aliwaambia wafuasi wake anauchukulia uchaguzi huo ni wa kidemokrasia na kuwafuta kazi walioupinga
Mashambulizi yalilenga makamanda wenye uhusiano na Tehrik-e-Taliban Pakistan au TTP.
Vikosi vya Israel vinachukua hatua hii kwa sababu maafisa wa Hamas wanaitumia hospitali hiyo kuongoza mashambulizi dhidi ya Israel.
Ni baada ya Umoja wa Ulaya kupendekeza mabadiliko ya sheria kupunguza kwa kiasi kikubwa kanuni za mazingira za CAP
Jeshi la Marekani lina mamia ya wanajeshi walioko huko katika kambi kubwa ya jeshi la anga kaskazini mwa Niger
Walinda amani wanane wa Umoja wa mataifa wamejeruhiwa kulingana na taarifa ya mkuu wa ujumbe wa UN
Putin mwenye umri wa miaka 71 anatarajiwa kuongeza utawala wake wa karibu robo karne kwa miaka mingine sita
Makubaliano hayo yamepangwa kutiwa saini wakati wa ziara ya rais wa Tume ya Ulaya, Ursula von der Leyen
Utawala wa kijeshi nchini Niger umebatilisha mkataba wa kijeshi ambao uliruhusu kuwepo kwa wanajeshi na wafanyakazi wa kiraia kutoka Wizara ya Ulinzi ya Marekani katika ardhi yake, msemaji wa utawala Kanali Amadou Abdramane amesema Jumamosi.
Maafisa wanaoratibu hali ya kibinadamu Syria wanakadiria watu milioni 16.7 wanahitaji misaada ya kibinadamu
Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amelaani shambulizi hilo kuwa ni kitendo cha kihuni cha magaidi
Pandisha zaidi