Rais wa Marekani Joe Biden alimuonya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu Jumatatu kwamba mashambulizi ya ardhini katika mji wa Rafah yatakuwa "kosa," walipozungumza kwa mara ya kwanza ndani ya mwezi mmoja, huku kukiwa na mvutano unaoongezeka kuhusu vita katika Ukanda wa Gaza.
Wakaazi wenye hasira kutoka Hosteli ya Diepkloof katika kitongoji cha Soweto mjini johanesburg Afrika kusini, wamechoma matairi katika jaribio la kuziba barabara na kuwarushia mawe polisi kufuatia maandamanao ya ghasia ya kupinga ukosefu wa usambazaji wa huduma muhimu na hali mabaya ya makazi.
Putin aliwaambia wafuasi wake anauchukulia uchaguzi huo ni wa kidemokrasia na kuwafuta kazi walioupinga
Mashambulizi yalilenga makamanda wenye uhusiano na Tehrik-e-Taliban Pakistan au TTP.
Vikosi vya Israel vinachukua hatua hii kwa sababu maafisa wa Hamas wanaitumia hospitali hiyo kuongoza mashambulizi dhidi ya Israel.
Mashirika kadhaa ya serikali na yale ya kutoa misaada nchini Haiti yameripoti kuwa vifaa vyao, pamoja na misaada imeporwa, huku nchi hiyo ikiingia kwenye wimbi jingine la ghasia za magenge.
Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu alisema Jumapili kwamba wanajeshi wa Israel wataendesha mashambulizi ya ardhini yaliyopangwa katika mji wa kusini wa Rafah, katika ukanda wa Gaza, ambayo yamezua hofu ya uwezekano wa mauaji makubwa ya raia.
Ni baada ya Umoja wa Ulaya kupendekeza mabadiliko ya sheria kupunguza kwa kiasi kikubwa kanuni za mazingira za CAP
Jeshi la Marekani lina mamia ya wanajeshi walioko huko katika kambi kubwa ya jeshi la anga kaskazini mwa Niger
Walinda amani wanane wa Umoja wa mataifa wamejeruhiwa kulingana na taarifa ya mkuu wa ujumbe wa UN
Putin mwenye umri wa miaka 71 anatarajiwa kuongeza utawala wake wa karibu robo karne kwa miaka mingine sita
Makubaliano hayo yamepangwa kutiwa saini wakati wa ziara ya rais wa Tume ya Ulaya, Ursula von der Leyen
Pandisha zaidi