Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Desemba 10, 2023 Local time: 16:52

Maafa ya Ukame na Njaa

​Mamilioni ya watu barani Afrika hawana uwezo wa kupata chakula cha kutosha. Somalia iko ukingoni mwa janga la njaa. Ukame nchini Kenya umesababisha serikali kutangaza hali ya hatari. Kaskazini mashariki ya Nigeria inakabiliwa na utapiamlo, na njaa imekwisha tangazwa katika baadhi ya sehemu za Sudan Kusini. Mamilioni ya watu katika bara —wengi wao wakiwa watoto—hawana chakula cha kujitosheleza. Idhaa ya Kiswahili ya VOA inawaletea ripoti hii inayoendelea kuhusu tatizo hili katika bara la Afrika katika Makala maalumu ya VOA “Njaa Barani Afrika"
Zaidi

Video | Afrika

Njaa Barani Afrika
please wait
Embed

No media source currently available

0:00 0:01:58 0:00

Kenya

Tatizo la ukame barani Afrika, viboko waangamia kisiwani Lamu, Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:45 0:00
XS
SM
MD
LG