Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 10:40

Zoezi la uokoaji laendelea katika eneo la ajali la Ziwa Victoria Tanzania

Ndege ATR 42 yenye namba za usajili 5H BWF ambayo ilikuwa ikitokea Dar es salaam kuelekea Bukoba na ilikuwa katika safari ya kurudi Dar es salaam kupitia Mwanza. Hadi sasa watu watatu wamethibitishwa kupoteza maisha.

Ndege hiyo ya Precision Air, ilikuwa inatoka Dar-es-salaam kuelekea Bukoba.

“Leo saa mbili karibu na dakika 20 kuelekea 25, tumepata majanga ya ndege ya Precision ATR42 ambayo ina namba za usajili 5HPWF ambayo ilikuwa inatoka Dar-es-salaam kuja ha Bukoba na ilikuwa na jumla ya watu 43. Katika hao 39 ni abiria, wawili ni wahudumu na 2 ni marubani,” amesema mkuu wa mkoa wa Kagera Albert Chalamila.


Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG